Wimbi la Siasa

Wimbi la Siasa

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa

00:00
00:00

Επεισόδια

244-

DR Congo: Mvutano waendelea kuhusu mpango wa kuifanyia marekebisho katiba

19 Αύγ 2026
243-

Kwanini kampeni za mapema zimeanza nchini Kenya, mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu ?

12 Αύγ 2026
242-

Maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania yatafanikiwa ?

05 Αύγ 2026
241-

Kenya: Je, Seneta Edwin Sifuna anataka kuwania urais 2027 ?

29 Ιούλ 2026
240-

Je, mazungumzo ya kitaifa nchini DRC yatafanyika ?

22 Ιούλ 2026